TANZANIA: ARDHI INAHITAJIKA HARAKA KWA MAKAMBI YA WAKIMBIZI WA BURUNDI.

Tanzania, ambayo imechukua wakimbizi zaidi kuliko nchi nyingine yoyote. Idadi ya wakimbizi waliofika imebakia kuwa juu katika mwezi wa Januari, kwa wastani wa karibu 600 kila siku.
Makambi yote matatu ya wakimbizi imepata changamoto kwa kuwa na idadi kubwa kuzidi uwezo wake washirika waitaka serikali kuharakisha kutenga ardhi kwa ajili ya makambi mpya.