MELANIA TRUMP: TAARIFA ZA UVUMI DHIDI YA MKE WA RAISI WA MAREKANI KATIKA MITANDAO YAKIJAMII KUMGARIMU BWANA "TARPLEY"



 Kashfa yamlazimu mwana habari wa Mitandao ya kijamii “Blogger” ajulikanaye kwa jina la 
Tarpley mwenye umri wa miaka 71. kulipa 'kiasi kikubwa' kwa Mke wa Raisi wa Marekani, Bi Trump.
 
Mwana habari wa mitandao jijini “Maryland” nchini Marekani alazimika kumlipa mke wa Raisi wa 
Marekani  juu ya makala zenye madai kuwa “Melania Trump” aliwahi kufanya kazi kama mlinzi
 binafsi “escort”, wakili wake alitoa tamko hilo wiki hii.
 
"Mimi nakiri kwamba kauli hizo za uongo zilikuwa hatari sana na zenye kudhuru kwa  Bi Trump na 
familia yake, na kwa hiyo mimi kwa dhati naomba msamaha kwa Bi Trump, mtoto wake, mume wake 
na wazazi wake kwa kutoa kauli hizo za uongo," alisema Tarpley
 
Ni vyema kwa wanahabari wa mitandao yakijamii kufanya utafiti wa kina kabla 
Yakuchapisha nakala zao mitandaoni.
 

Popular posts from this blog

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, aomba maji ya mwekezaji

Blowser error: Invalid Server Certificate