DAVID BECKHAM: MHEZAJI MPIRA MAARUFU WA ZAMANI AAJIRI WATAALAM WA UDUKUZI WA MITANDAO "CYBER-SECURITY EXPERTS"


Wataalam hao wa usalama wa mtandao wameajiriwa kufatana na mfululizo wa kudukuliwa Barua Pepe zake. "Marclay Associates" wameajiriwa na mchezaji huyo wa zamani kwaajiri ya kutambua ambaye aliiba ujumbe wa nyaraka 18.6million.

Kampuni ya Marclay Associates, inaendeshwa na Jake Hockley , ambaye awali alifanya kazi na Serikali ya Uingereza kabla ya kuhamia sekta binafsi mwaka 2012.


Popular posts from this blog

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, aomba maji ya mwekezaji

MWANA SPOTI

Blowser error: Invalid Server Certificate