MWANANCHI

CUF: Yajipanaga kudai tume huru za uchaguzi. 


DODOMA: Wabunge waicharukia serikali kuhusu fedha za maendeleo. 


TANESCO: Tatizo la kukatika umeme Dar es salaam kumalizika Mei, Drk Tito Mwinuka Mkurugenzi mtendaji wa Tanesco. 

BANDARINI: Mtikisiko wa uchumi wasababisha kampuni kuegesha malori 550










>> "Mtwara kushika mkia siyo bahati mbaya", Mkuu wa Mkoa wa Mtwara. Mkuu huyo alitarajia hali kuwa        hivyo kutokana na hali ya elimu kutopewa kipaumbele mkoani Mtwara. Soma zaidi 
>> Serikali kukabiliana na kupanda kwa bei za vyakula, Waziri mkuu Mh. Majaliwa amesema Serikali imeruhusu tani 1.5 zilizokuwa zimehifadhiwa kuuzwa ili kukabiliana na bei ya vyakula. Habari zaidi  

Popular posts from this blog

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, aomba maji ya mwekezaji

Blowser error: Invalid Server Certificate