Hizo 4G zenu zitawatokea puani "Yaliyotokea kwenye kombe la Mapinduzi ashapita na sasa tunaangalia mbele. Tunacheza na maji maji katika mechi ambayo tunatambua itakuwa ngumukutokana na nafasi ambayo wapinzania wetu wapo," alisema Kocha Msaidizi wa Yanga, Juma Mwambusi Soma zaidi Click/Bofya Soka Burudani Spoti Majuu Spoti Kenya
Amewaombea wananchi wa kijiji cha Pingo maji kwa mwekezaji wa kiwanda cha kutengeneza vigae cha Twyford, anayetarajia kuyavuta kutoka mto Ruvu hadi kiwandani kwake. Ridhiwani ameomba ombi hilo mwishoni mwa wiki wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi katika kiwanda hicho uliofanywa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage. Amesema wananchi hao wamekuwa na shida ya maji kwa kipindi kirefu tangu nchi ipate uhuru, hivyo wakati muwekezaji huyo atakapovuta maji katika kiwanda chake awasaidie na wananchi hao kupata huduma hiyo. "Mheshimiwa Waziri tuna tatizo la maji, wananchi wa kijiji hiki wamesubiri maji tokea uhuru, tunaomba utuombee kwa mwekezaji wakati akiyavuta kutoka mto Ruvu, wananchi nao wafaidike," alisema Mbunge huyo huku akipongezwa na wananchi wake. Hata hivyo, wakati wa akitoa hotuba yake, Mwijage alimuomba mwekezaji huyo kusaidia kuwapamaji wananchi hao, jambo alilolikubali kulitekeleza kwa gharama zake. Mwijage alifafanua kuwa kiwand...
See the State Department's travel website for the Worldwide Caution , Travel Warnings, Travel Alerts, and Country Specific Information for Tanzania . Enroll in the Smart Traveler Enrollment Program ( STEP ) to receive security messages and make it easier to locate you in an emergency. Tanzania 2016 Crime & Safety Report