Amewaombea wananchi wa kijiji cha Pingo maji kwa mwekezaji wa kiwanda cha kutengeneza vigae cha Twyford, anayetarajia kuyavuta kutoka mto Ruvu hadi kiwandani kwake. Ridhiwani ameomba ombi hilo mwishoni mwa wiki wakati wa uwekaji wa jiwe la msingi katika kiwanda hicho uliofanywa na Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage. Amesema wananchi hao wamekuwa na shida ya maji kwa kipindi kirefu tangu nchi ipate uhuru, hivyo wakati muwekezaji huyo atakapovuta maji katika kiwanda chake awasaidie na wananchi hao kupata huduma hiyo. "Mheshimiwa Waziri tuna tatizo la maji, wananchi wa kijiji hiki wamesubiri maji tokea uhuru, tunaomba utuombee kwa mwekezaji wakati akiyavuta kutoka mto Ruvu, wananchi nao wafaidike," alisema Mbunge huyo huku akipongezwa na wananchi wake. Hata hivyo, wakati wa akitoa hotuba yake, Mwijage alimuomba mwekezaji huyo kusaidia kuwapamaji wananchi hao, jambo alilolikubali kulitekeleza kwa gharama zake. Mwijage alifafanua kuwa kiwand...
Browser displays connection untrusted error Summary: When accessing the search appliance over HTTPS, the browser shows a warning such as "The site's security certificate is not trusted!" (Google Chrome) or "This Connection is Untrusted" (Mozilla Firefox). This can happen when accessing any of the following services over HTTPS: Admin Console(port 8443) Version Manager(port 9942) Search results(port 443) Cause: To establish an HTTPS connection, the browser needs to trust the SSL/TLS cert installed on the search appliance. In the case where the browser displays this error, the search appliance has an SSL cert which is either self-signed or the signing certificate of authority is not trusted by your browser's configuration. Troubleshooting Steps: Log into Admin Console > Administration > SSL Settings. The certificate currently installed on GSA is shown in the top "Current SSL Certificate Information" section. Check...