TANZANIA: PICHA ZILIZO ITANGAZANCHI KATIKA UTALII

 Mpiga picha ajulikanaye kwa jina la Keith Crowley, 56, kutoka mji wa Hudson, Wiscons nchini Marekani na kutalii sehem ijulikanayo kama "Ndutu"  nchini Tanzania kwajili ya kupiga picha wanyama hasa hasa ajulikanaye kama "Duma" na "Paa".

"Nlishawahi shuhudia Paa akiwindwa bali hii ilikuwa ya kipekee kuona Paa akinikimbilia katika harakati za kujiokoa," alisema Keith.





Popular posts from this blog

MWANA SPOTI

MBUNGE wa Chalinze, Ridhiwani Kikwete, aomba maji ya mwekezaji

OVERSEAS SECURITY ADVISORY COUNCIL